Matthew 13:13-14

13 aHii ndiyo sababu nasema nao kwa mifano:

“Ingawa wanatazama, hawaoni;
wanasikiliza, lakini hawasikii, wala hawaelewi.
14 b Kwao unatimia ule unabii wa Isaya aliposema:

“ ‘Hakika mtasikiliza lakini hamtaelewa;
na pia mtatazama lakini hamtaona.
Copyright information for SwhNEN